• Tulia Mpaka mwili upoe, usimalize na kuondoka kwa kuanza kutembea
• Usimbeze mpenzi kutokana na mapungufu yake endapo hujafurahia ushiriki wake kwa siku hiyo bali mpe moyo na umdadisi kwa upendo,busara na hekima ili ujue sababu iliyompelekea kushiriki chini ya kiwango chake
• Usiende kuoga haraka haraka na maji ya baridi mara tu umalizapo tendo ni vema ukatulia kwanza ili mwili upoe ndipo ukaoge
• Fanyeni maandalizi kwa kuweka mwili uwe tayari kwa ajili ya tendo la pili na maandalizi hayo pia yazingatie usafi wa mwili na akili
• Ni busara kujisafisha mara tu mmalizapo tendo la kwanza kabla ya kuingia katika tendo la lipi
• Usibane haja ndogo baada ya tendo, katoe haja kama imekubana
• Usishiriki tendo wakati umebanwa haja ndogo au kubwa
• Mpongeze mwenza wako mara baada ya tendo na ushukuru uwepo wake,ushiriki wake, huku ukiwa umemkumbatia kwani wanawake hupenda sana kukumbatiwa baada ya tendo wao hujisikia kuwa wako salama zaidi endapo utafanya hayo
• Mara tu umalizapo tendo na kuondoka huwa Mkeo anajisikia vibaya na kudhani unampenda kwa ajili ya tendo na umalizapo huna tena hamu naye
• Ni vizuri ujue kama mwenza wako amefurahia tendo kwa siku hiyo
• Tambua makosa uliyofanya ili yasije yakajirudia wakati wa tendo lingine.
• Usimbeze mpenzi kutokana na mapungufu yake endapo hujafurahia ushiriki wake kwa siku hiyo bali mpe moyo na umdadisi kwa upendo,busara na hekima ili ujue sababu iliyompelekea kushiriki chini ya kiwango chake
• Usiende kuoga haraka haraka na maji ya baridi mara tu umalizapo tendo ni vema ukatulia kwanza ili mwili upoe ndipo ukaoge
• Fanyeni maandalizi kwa kuweka mwili uwe tayari kwa ajili ya tendo la pili na maandalizi hayo pia yazingatie usafi wa mwili na akili
• Ni busara kujisafisha mara tu mmalizapo tendo la kwanza kabla ya kuingia katika tendo la lipi
• Usibane haja ndogo baada ya tendo, katoe haja kama imekubana
• Usishiriki tendo wakati umebanwa haja ndogo au kubwa
• Mpongeze mwenza wako mara baada ya tendo na ushukuru uwepo wake,ushiriki wake, huku ukiwa umemkumbatia kwani wanawake hupenda sana kukumbatiwa baada ya tendo wao hujisikia kuwa wako salama zaidi endapo utafanya hayo
• Mara tu umalizapo tendo na kuondoka huwa Mkeo anajisikia vibaya na kudhani unampenda kwa ajili ya tendo na umalizapo huna tena hamu naye
• Ni vizuri ujue kama mwenza wako amefurahia tendo kwa siku hiyo
• Tambua makosa uliyofanya ili yasije yakajirudia wakati wa tendo lingine.

0 comments:
Post a Comment