
Eduboy ni msanii wa HIP HOP zao la Mwanza ni msanii ambaye ana uwezo wa kufanya aina mbalimbali za muziki ikiwemo HIP HOP na RnB.Ameweza kufanya ngoma kadhaa na kali kama Nimejifunza akiwa amamshirikisha Barnaba pia Dumange akiwa na mr T-Touch pamoja na Naiee ambayo amafanya na BILNASS
| SIGNAL BOY 39 & EDU BOY on interview |
.
Tumsikilize mambo ambayo aliweza kushare na sisi leo show itaenda kitofauti kidogo na pia nataka kutoa nafasi kwa wadau washow hii just stay with me part 2 itakuwa na mchongo mzima
BONYEZA KITUFE CHA KUPLAY USIKILIZE
ITAZAME VIDEO YA EDU BOY FT BILL NASS _NAIEE
FAHAMU VIVIUTIO VYA TANZANIA(KILIMANJARO)
1 comments:
Salute broo
Post a Comment